Tumshukuru Bwana
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Tumshukuru Bwana Mungu wetu
Kwa maana yeye ndiye mwema *2
Verse 2
Katika mashaka nimekaa, ameniokoa Bwana
Verse 3
Bwana ni msaidizi wangu, wala siogopi tena
Verse 4
Nimemkimbilia Bwana, yeye ndiye mwaminifu
Verse 5
Mkono wake wa kiume, umeniinua kweli
Verse 6
Hayo yametendwa na Bwana, nayo ni muujiza kweli