Chorus
[s:] Tumepewa Mtoton[w:] Tumepewa mtoto mwanaume *2
Na uwezo wa kifalme utakuwa begani mwake *2n[s:] Naye ataitwa jina laken[w:] Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu
Baba wa milele, Mfalme wa amani *2
Verse 2
Maombezi na enzi yake na amani
Hayatakuwa na mwisho kamwe
Verse 3
Katika kiti cha enzi cha Daudi
Na ufalme wake milele
Verse 4
Kuthibitisha na kutegemeza
Kwa hukumu na haki
Verse 5
Tangu sasa na hata milele wingunwa Bwana wa Majeshi, ndio utakaotenda hayon