Chorus
Tumeuona wema wako Bwana Mungu
Tumeuona wema wako Mungu wetu
Umetuonyesha mapito yenye haki
Tumeelewa na kufafanua mema
Ni wema - wa ajabu, ni pendo - pendo kuun(Pokea) Pokea sifa na shukrani zangu }*2
Verse 2
Ni wewe Bwana watupendanwatujalia mema mengi
Sifa na utukufu wake vimedhihirihswa
Bwana tunakushukuru
Verse 3
Na malaika wanaimba kusifu utukufu wako
Furaha imetanda kote furaha ya kweli
Bwana twakushangilia
Verse 4
Viumbe vyote vyakusifu, vyashangilia kwa furaha
Ni wewe Bwana ulinena navyo vikaumbwa
Bwana wastahili sifa