SectionsEntranceTumaini Letu Ni Kwa Bwana

Tumaini Letu Ni Kwa Bwana

Ordinary TimeEntrance
Chorus

Tumaini letu ni kwa Bwana, kwa maananana uwezo wa milele.

Verse 2

Tutamsifu Bwana siku zote

Chorus

Kwa maana ana uwezo wa milele

Verse 4

Yeye ndiye mwanzo wa uzima-n

Yeye ndiye aliyetuumba-n

Vitu vyote vimeumbwa naye-n

Yeye ndiye kiongozi wetu-n

Tumwabudu tumsifu daima-n

Sifa na uwezo viwe kwake-n

Nguvu na ulinzi ni kwa Bwana-n

Uzima na wokovu ni kwake-n

Atukuzwe katika Utatu-n

Kama mwanzo, sasa na daima-