SectionsExitTuliona Nyota Yake

Tuliona Nyota Yake

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Christmas,ChristmasExit
Chorus

Tuliona nyota (tuliona nyota) yake (kule) mashariki

Na tumekuja na zawadi kumsujudia Bwana

Verse 2

Yesu Kristu alipozwaliwa Bethlehemu ya Uyahudi

Tazama mamajuzi wale wa mashariki

Ni zamani za yule mfalme anayeitwa Herode

Wafika Yerusaleme nao wakisema

Verse 3

Yuko wapi aliyezaliwa mfalme wa wayahudi?

Kwa maana sisi tuliona nyota yake mashariki.

Nasi tumekuja kumsujudia,

Herode kusikia, anafadhaika.