Chorus
Tujongeeni mezani, mezani mwa bwana*2 ili tukauonje utamu wa mbingu
Verse 2
Mwili wake bwana yesu ni chakulandamu yake bwana yesu ndicho kinywajin
Aulaye mwili wake ana uzima,nainywaye damu yake taburudishwan
Hima hima twende wote tumpokee,nili tupate uzima wa roho zetun
Ukarimu wake bwana wa ajabu kwani ametualika mezani pake