Tujongee Mbele Ya Meza
Ordinary Time,Advent,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Lent,Ordinary Time,Marian,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Easter,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,MarianEucharist
Chorus
Tujongee mbele ya meza yake Bwanan{n|s|t| tukale chakula cha uzima,ntukale chakula cha uzima,
Bwana ametuandalian|a/b| tukale chakula cha uzima cha uzima } * 2
Verse 2
Chakula kiko tayari, Bwana ametuandalia
Anatukaribisha twende mezani, kwa chakula cha uzima
Verse 3
Hiki ni chakula kweli, kinashibisha roho zetu
Chakula hiki ni mwili na damu, ya Bwana wetu Yesu
Verse 4
Hiki ni chakula kweli, kinachotoka mbinguni
Atakayekula chakula hiki, ataishi milele
Verse 5
Damu yangu ni kinywaji kweli, Yesu ametuandalia
Atakayekunywa damu yangu, anao uzima wa milele