SectionsEucharistTujongee Mbele Ya Meza

Tujongee Mbele Ya Meza

Ordinary Time,Advent,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Lent,Ordinary Time,Marian,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Easter,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,MarianEucharist
Chorus

Tujongee mbele ya meza yake Bwanan{n|s|t| tukale chakula cha uzima,ntukale chakula cha uzima,

Bwana ametuandalian|a/b| tukale chakula cha uzima cha uzima } * 2

Verse 2

Chakula kiko tayari, Bwana ametuandalia

Anatukaribisha twende mezani, kwa chakula cha uzima

Verse 3

Hiki ni chakula kweli, kinashibisha roho zetu

Chakula hiki ni mwili na damu, ya Bwana wetu Yesu

Verse 4

Hiki ni chakula kweli, kinachotoka mbinguni

Atakayekula chakula hiki, ataishi milele

Verse 5

Damu yangu ni kinywaji kweli, Yesu ametuandalia

Atakayekunywa damu yangu, anao uzima wa milele