Chorus
{ Tufurahi sote katika Bwana,
Tunapoadhimisha siku kuu
Kwa heshima ya bikira Maria } *2
Verse 2
Malaika wanafurahia kupalizwa kwake mbinguni
Na wanamsifu mwana wa Mungu aleluya
Verse 3
Bwana amewafunulia mataifa wokovu wake
Ameidhihirisha haki yake aleluya
Verse 4
Atukuzwe Baba na mwana na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo sasa na siku zote