Chorus
{ Ungalianza kuhesabu maovu yetu,nnani angeweza kusimama mbele yako }*2
Nani angeweza, nani angeweza-nnani angeweza kusimama mbele yako } *2
Verse 2
Wazee kwa vijana tumekosa,
Bwana twatubu twalilia ee Bwana uso wako
Verse 3
Kwa mawazo kwa vitendo tumekosa,
Bwana twatubu twalilia ee Bwana uso wako
Verse 4
Kwa anasa za dunia tumekosa,
Bwana twatubu twalilia ee Bwana uso wako
Verse 5
Ulevi na ukaidi tumekosa,
Bwana twatubu twalilia ee Bwana uso wako
Verse 6
Maria Bikira mwema mwenye heri,nutuombee kwa mwanao ee mama, Yesu Kristu.