Chorus
Toa kwanza boriti ndani ya jicho lako
Ndipo uone kibanzi ndani ya jicho la ndugu yakon{Maana utamwambiaje, utamwambiaje nduguyo
Hebu nikitoe kibanzi, ndani ndani ya jicho lakon(Na kumbe mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe) *2}
Verse 2
Msihukumu msije mkahukumiwa nyinyi
Hukumu mhukumuyo ndiyo mtahukumiwa nyinyi
Kipimo mpimiacho ndicho mtakachopimiwa
Verse 3
Ombeni nanyi mtapewa/ tafuteni nanyi mtaona/
Bisheni nanyi mtafunguliwan
Verse 4
Basi yoyote myatakayo mtendewe na watu/nnanyi watendeeni vivyo hivyo
Maana hiyo ndiyo torati ya manabii