SectionsExitTiketi Ya Mbinguni

Tiketi Ya Mbinguni

Ordinary Time,Ordinary Time,Advent,Ordinary Time,Advent,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Verse 1

Hii ni tiketi tiketi yangu ya Mbinguni we, naanza safari hiyo

Nipishe nipite dunia hii ni mapito tu , naanza safari hiyo

Chorus

{ Imani na matendo, (sala) sala na ibadan(takatifu) Ndiyo ngao yangu hiyo } *2

Verse 3

Mimi sitalala tiketi yangu nailinda tu

Wala sigeuki kule aliko mwovu shetani

Verse 4

Furaha ukarimu mizigo yangu naibeba tu

Jemedari wangu ni Bwana Yesu simba wa vita

Verse 5

Nimhofu nani nimwogope nani mwenye mwili

Safari ni ngumu lakini Yesu ni dereva we

Verse 6

Safiri salama katika meli ya Mbinguni

Nahodha shupavu ni Bwana Yesu kaza mwendo e