Verse 1
Bwana Mungu nashangaa kabisa
Nikifikiri jinsi ulivyo nyota, ngurumo, vitunvyote pia, viumbwavyo kwa uwezo wako
Chorus
Roho yangu na ikuimbie,njinsi wewe ulivyo mkuu,
Roho yangu na ikuimbie,njinsi wewe ulivyo mkuu.
Verse 3
Nikitembea pote duniani, ndege huimba,nnawasikia, milima hupendeza machonsana, upepo nao nafurahian
Nikikumbuka vile wewe Mungu, ulivyonmpeleka mwanao, afe azichukue dhambin‘zetu, kuyatambua ni vigumu mnon
Yesu Mwokozi utakaporudi, kunichukankwenda mbinguni, nitaimba sifa zakonmilele, wote wajue jinsi ulivyo