Chorus
{ Teremka Bwana teremka,
Teremka toka mawinguni, teremka
Toka mawinguni mpaka duniani } *2
Na tazama wanao wanavyokuimbia *2
Wafurahi kwa ajili ya utukufu wako
Verse 2
Shuka toka mbinguni, tazama makanisani
Watu wote wanakusifu na kusema
Verse 3
Shuka toka mbinguni, tazama na misituni
Ndege wote wanakusifu na kusema
Verse 4
Shuka toka mbinguni, tazama huko porini
Wanyama wote wakusifu na kusema