Tena

Ordinary TimeEntrance
Chorus

|s| {Haya haya haya tena haya tumerudintena kukuimbia kukusifu kwa nyimbontena watu kuwainua tena wakutukuze wewe }* 2n|b| haya haya haya tena haya tumerudintena twaja kukuimbia kukusifu kwa nyimbo tenantena wakutukuze wewe tenan|a| haya haya tena haya tena haya tena kukuimbia

Kukusifu kwa nyimbo tena tena tenanwakutukuze wewe tenan|t| haya haya tena haya tumerudintena twaja kukuimbiaTena tenanwatu kuwainua tena wewe tena wewe tena } 2

Verse 2

Teremka uzisikilize nyimbo tulizokutungia

Karama ulizotujalia

Verse 3

Njoo Bwana uzisikie sauti tamu ulizoumba

Wanao tunakurudishia

Verse 4

Tega sikio usikie midundo tunayokupigia

Yote hii wewe utukuzwe

Verse 5

Tupa jicho ujionee miondoko tunayokanyaga

Mifupa uliyotujengea

Chorus

n{Ni wewe tena uhimidiwe ni wewe tena!

Ni wewe tena ushangiliwe tena }*2