SectionsExitTembea Nami Bwana

Tembea Nami Bwana

Ordinary Time,Ordinary Time,Advent,Ordinary TimeExit
Chorus

{Ee Bwana Mungu wangu

Tembea nami usiniache kwenye dunia (hiyo)

Ya machafuko } *2n

Nikianguka, Bwana, uniinue Bwana

Nikiteleza, Bwana, unishike mkono

Uniepushe na maadui wa roho yangu

Uniepushe na maadui wa roho yangu

Verse 2

Tazama ninaishi kwa mashaka na hofu kubwan(Kwani) Baadhi ya wanadamu wenzangu wamegeuka

Kuwa ni maadui zangu,

Wananiwinda wanikamate wavinyokoe viungo,

Eti wajipatie mali.

Verse 3

Tazama ninaishi kwa mashaka na hofu kubwan(Kwani) Baadhi ya waathirika wenzangu wamekamatwa

Bwana na wameshauawa,

Wamewakata vichwa na mikono, na miguu yao Bwana,

Eti wajipatie mali

Verse 4

Tazama sisi wanao wakiwa twakimbilia (kwako)n(Kwako) twazikabidhi roho zetu mikononi mwako

Maana ni wewe kimbilio

Usituachie adui zako watutie mikononi

Bwana utushike mkono