Tazameni Meza Ya Bwana (Ii)
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Christmas,Advent,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary TimeEucharist
Chorus
Tazameni meza ya Bwana, inapendeza (kama nini)
Bwana Yesu ameandaa leo karamu kubwa (kweli kweli)
Ni chakula chenye uzima chakula cha roho *2
Verse 2
Bwana alivyo mkarimu kautoa mwili wake
Kautoa kama chakula cha wokovu wetu
Verse 3
Mwili wa Bwana Yesu ni chakula ni chakula bora cha uzima
Damu yake Bwana Yesu ni kinywaji cha kweli
Verse 4
Bwana ametualika, sote tujongee mezani
Tukale chakula cha uzima wa roho zetu