Verse 1
Tazameni kule Kalvary
Mwokozi aliteswa na dhambi x2
Alizikwa mle kaburini
Mwisho akatoka kwa ushindi
Chorus
Nitashinda Bwana nitashinda
Kama wewe pia ulishinda x2
Nitapita mapitoni mwako; oh –oh
Nimeanza Bwana nitashinda
Verse 3
Njia mbovu zote nimeacha
Nitapitia njia nyembamba
Walipitia Elija na Musa
Walianza mwisho wakashinda
Verse 4
Kupokea wimbo wa ushindi
Kuchukuliwa kwa mawingu x2
Malaika kutwa wanaimba
Wakisifu nyimbo za ushindi