SectionsEucharistTazameni Kule Kalvary

Tazameni Kule Kalvary

LentEucharist
Verse 1

Tazameni kule Kalvary

Mwokozi aliteswa na dhambi x2

Alizikwa mle kaburini

Mwisho akatoka kwa ushindi

Chorus

Nitashinda Bwana nitashinda

Kama wewe pia ulishinda x2

Nitapita mapitoni mwako; oh –oh

Nimeanza Bwana nitashinda

Verse 3

Njia mbovu zote nimeacha

Nitapitia njia nyembamba

Walipitia Elija na Musa

Walianza mwisho wakashinda

Verse 4

Kupokea wimbo wa ushindi

Kuchukuliwa kwa mawingu x2

Malaika kutwa wanaimba

Wakisifu nyimbo za ushindi