{ Tazama tazama ni vyema na vizuri
Ndugu kuishi pamoja kwa umoja } *2
Mapendo ya Kristu yametuunganisha
Ndugu tuishi pamoja kwa mapendo
Tumshangilie na tufurahie kwake
Tumche tumpende Mungu mzima Bwana
Kristu Bwana Mungu tunakuomba leo
Tupe neema tukupende wewe
Tunapokusanyika kwa pamoja daima
Tuangalie tusitengane tenan
n* * *
Mapendo ya Kristu yametuunganisha,
Ndugu kuishi pamoja kwa umoja
Tuwe na furaha tunapokusanyika,
Kwa moyo mnyofu tusameheane kweli,
Na tuangalie tusitengane kamwe,
Tuache ugomvi tujenge mapatano
Kati yetu sisi akae Yesu Kristu,
Yeye ni kiungo cha wanadamu wote,
Awaunganishe waliotengana nasi,
Tuwe kundi moja mchungaji ndiye mmoja.
Tunapokusanyika kwa pamoja
Tuangalie tusitengane tena
Kristu Bwana Mungu tunakuomba leo
Tumiminie neema ya kupendana
Kanisa letu na yale ya wenzetu
Tuungane pamoja tunakuomba