Verse 1
Tazama mimi mwanitafuta ni kwa sababu mlikula mikate
Na wala si kwa sababu ninyi mliona zile ishara
Chorus
Na mimi ee Bwana nakutafuta kwa moyo wote
Nione ishara nayo matendo nifike kwakon{ Najilaza chini, kifudifudi,
Ningali kijana unibariki na kizazi changu }* 2
Verse 3
Tazama mimi nilitumwa ili niuokoe ulimwengu
Na wala si kwa sababu nijiinue ili muamini
Verse 4
Tazama mimi sikuja kuwaita wema bali wenye dhambi
Na wala sikuja ili yao watu wema wajinyanyue
Verse 5
Tazama mimi niko pamoja nanyi siku zote niko nanyi
Siku zote siku zote hata ukamilifu wa dahari