Chorus
{ Tazama mimi - nipo pamoja nanyi
Nipo pamoja - nanyi siku zote (siku zote) } *2
Siku zote mpaka ukamilifu wa dahari *2
Verse 2
Enyi watu wote pigeni, pigeni makofi
Pigieni Mungu kelele kelele za shangwe
Verse 3
Kwani Bwana aliye juu, mwenye kuogofya
Yeye ni mfalme mkuu wa dunia yote
Verse 4
Enyi watu wote imbeni, imbeni zaburi
Maana Mungu anamiliki mataifa yote
Verse 5
Mwimbieni Mungu imbeni, pigeni zumari
Mpigieni pia na zeze na vinanda vyenu