Chorus
Tazama Mama mwanao, atundikwa msalabani
Sababu gani hi-yo, mwanao kutiwa hatianin{ Uchungu, mama, uchung,u mama,
Uchungu mama kwa mwanao } *2
Verse 2
[ s ] Sioni kosa lolote, alilolitenda mwanangu
Mwanangu hakuwa na kosa, makosa hayo juu yenu
Uchungu, uchungu, uchungu sana kwa mwanangu *2
Verse 3
[ t ] Kutundikwa juu msalabani, sababu yake ukombozi
Atukomboe utumwani, tuwe wana wa ukombozi
Ni sisi, ni sisi, ni sisi mama wakosefu *2
Verse 4
[ s ] Mwanangu haikumpasa, kufa bure bila sababu
Mwanangu Mungu mtu pekee, kwake sioni kosa kwangu
Uchungu, uchungu, uchungu sana kwa mwanangu *2
Verse 5
[ t ] Kumbuka mama Maria, maneno ya mwanao Yesu
Nitakufa nitafufuka, na kwenda juu kwa Baba yangu
Ya nini, ya nini, ya nini mama huzuni hiyo