SectionsExitTazama Mama Mwanao

Tazama Mama Mwanao

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Christmas,Advent,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,LentExit
Chorus

Tazama Mama mwanao, atundikwa msalabani

Sababu gani hi-yo, mwanao kutiwa hatianin{ Uchungu, mama, uchung,u mama,

Uchungu mama kwa mwanao } *2

Verse 2

[ s ] Sioni kosa lolote, alilolitenda mwanangu

Mwanangu hakuwa na kosa, makosa hayo juu yenu

Uchungu, uchungu, uchungu sana kwa mwanangu *2

Verse 3

[ t ] Kutundikwa juu msalabani, sababu yake ukombozi

Atukomboe utumwani, tuwe wana wa ukombozi

Ni sisi, ni sisi, ni sisi mama wakosefu *2

Verse 4

[ s ] Mwanangu haikumpasa, kufa bure bila sababu

Mwanangu Mungu mtu pekee, kwake sioni kosa kwangu

Uchungu, uchungu, uchungu sana kwa mwanangu *2

Verse 5

[ t ] Kumbuka mama Maria, maneno ya mwanao Yesu

Nitakufa nitafufuka, na kwenda juu kwa Baba yangu

Ya nini, ya nini, ya nini mama huzuni hiyo