Tazama Bwana Tunakuja
Christmas,Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus
{ Tazama, Bwana tunakuja kwako (leo)
Twaleta sadaka yetu mbele yako
Tunakuomba Mungu Baba pokea } *2
Verse 2
Kwa nguvu zako uliweza kustawisha
Mazao bora, na sasa twakutolea
Mashamba uliyarutubisha kwa
Mvua nzuri mazao kwa wingi yakasitawi
Verse 3
Bahari mito na maziwa Bwana ukajaza
Samaki wengi wa kupendeza
Angani ndege wengi wanarukarukankushangilia neema yako ee Bwana
Verse 4
Wanyama maporini wanarukaruka
Kushangilia neema yako ee Bwana
Wadudu nao wakachecheza kuonyesha
Furaha kubwa waliyo nayo