Chorus
Tazama Bikira atachukua mimba,nna yeye atazaa mwana,
Naye jina lake ni Emanueli,nyaani ni Mungu pamoja nasi
Verse 2
Malaika akasema, salamu ee Maria, Bwana yu nawe
Verse 3
Utachukua mimba, utazaa mtoto, Bwana yu nawe
Verse 4
Utampa jina Yesu, naye ni mtakatifu, Bwana yu nawe
Verse 5
Mungu atampa kiti, cha babu yake Daudi, Bwana yu nawe