SectionsExitTawi Limechipuka

Tawi Limechipuka

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,ChristmasExit
Verse 1

Tawi limechipuka shinani mwa Yesu

Kama tulivyopashwa habari na wazee

Likatoa ua, wakati wa usiku, lililochanua

Verse 2

Isaya alitaja ua hilo zuri

Ni Yesu mponya wetu, Maria alimzaa

Usiku mtulivu, uwezo wake Mungu, umefanya hivi

Verse 3

Na ua hili dogo lanuka vizuri

Lang'aa kama jua, giza lafukuza

Ni Mwana wa Mungu, hata mwana Adamu, Mwokozi wa watu

Verse 4

Siku ya kufa kwetu, Yesu tuongoze

Tuiache dunia, twende furahani

Mbinguni kwa Mungu, pale tutakusifu, milele daima