Chorus
Sote tumtolee Bwana Mungu sadakanwakristu. Sote tumtolee ee Bwana Mungu
Sote tumtolee Bwana Mungu sadaka.
Verse 2
Twaishi kwa pendo lake Mungunmwenyezi, tumtolee sadaka ni baba
Verse 3
Twaishi kwa pendo lake Mungu ni yeyennimwenye kuturehemu.
Verse 4
Aliyetuumba atupenda daima
Ingawa sisi tu wakosefu
Verse 5
Ni Mungu mwenyezi atulinda kokote
Katika mabonde ya mauti
Verse 6
Na nguvu tunazo ni kwa jina la Mungu
Na Mungu wetu ni mtakatifu
Verse 7
Na mali tunayo yake Mungu wa watu
Fadhili zake ni za milele.