Soma Biblia Kitabu Kitakatifu
Ordinary Time,Ordinary TimeBible Procession
Chorus
{ Soma Bibilia kitabu kitakatifu,
Soma uondoe ujinga wa kiroho. } *2
Verse 2
Bibilia ni daktari wa maisha yako
Uisome, uondoe ujinga wa kiroho - soma
Verse 3
Bibilia ni hekima ya maisha yako
Uisome uondoe ujinga wa kiroho - soma
Verse 4
Bibilia ni mwalimu wa maisha yako
Uisome uondoe ujinga wa kiroho - soma
Verse 5
Bibilia ni mlinzi wa maisha yako
Uisome, uondoe uchafu wa kiroho - soma
Verse 6
Bibilia ni sabuni ya maisha yako
Uisome, uondoe uchafu wa kiroho - soma
Verse 7
Bibilia ni furaha ya maisha yako
Uisome, uondoe huzuni ya kiroho - Soma