Soma Bibilia

Ordinary Time,Ordinary TimeBible Procession
Chorus

Soma bibilia kitabu kitakatifu,

Soma uondoe ujinga wa kiroho. X2

Verse 2

Bibilia ni mwangaza wa maisha yangu,nusome uondoe ujinga wa kiroho.n

Bibilia ni imanin

Bibilia ni furahan

Bibilia ni hekima