Verse 1
Bwana Yesu ni mwili wa uzima, tukila tutashibishwa
Bwana Yesu ni damu ya uzima, Yeye ni uzima
Chorus
Sogeeni kwa karamu ya upendo
Twende sote tule mwili wake
Twende sote tunywe damu yake Bwana tupate uzima
Verse 3
Tunapokula mwili wake Bwana, na kuinywa damu yake
Tunatangaza kifo chake Bwana Mpaka arudipo
Verse 4
Alaye mwili wake Bwana wetu, na kuinywa damu yake
Akila bila ya kustahili anajihukumu