SectionsOffertorySiwezi Kubaki Kitini

Siwezi Kubaki Kitini

Ordinary TimeOffertory
Chorus

Siwezi kubaki kitini, lazima ninyanyuke, nikamtolee Mungu

Kwani amenijalia mengi yasiyo idadi

Verse 2

Ninayo afya ya mwili na roho

Zawadi hii yatoka kwa Mungu

Kwa nini nisinyanyuke nikamshukuru Mungu

Verse 3

Mahangaiko ya njaa sipati . . .

Verse 4

Nikisafiri nafika salama . . .

Verse 5

Nafasi hii mimi nilo nayo . . .