Chorus
Sisi wana dunia tukumbuke maneno,naliyosema Bikira Maria
Alipowatokea watoto wa Fatima,
Lucia Francis na Jacinta
Alisema tusali, tusali rosari, tupate amani
Na tuwaombee wale wakosefu wasio na mwombezi
Na wasiomwamini Yesu Mwokozi wamuamini ili waokoke
Verse 2
Mama yetu anahuzunishwa sana,nna matendo yetu maovu
Anajua adhabu yetu ijayo,nhivyo anaona huruma sana
Verse 3
Atusihi tuache dhambi kwa dhati,ntuache kumkosea Yesu
Tuyatubu makosa yetu yote,nili Bwana atupatie amanin
Verse 4
Tusitende maovu na dhambi,natusihi mama wa Yesu,
Tusimkasirishe tena Mungu,nasije tutupa motoni milele
Verse 5
Ibada ya moyo safi wa Maria,ntuizingatie daima,
Tupokee komunio takatifu,nkila Jumamosi ya kwanza ya mwezin