SectionsThanksgivingSiri Ya Mafanikio

Siri Ya Mafanikio

Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Verse 1

Nikateleza nikatapatapa,nsauti ile ikanirudia tena

Ikanambia usiwe na hofu,ninua macho yako kwenye mti huu (na kisha)

Chorus

Tazama tundu hili takatifu la neema

Kwenye moyo uliojaa pendo

Na ndilo siri ya mafanikio ya maisha

Ya furaha na amani ya kweli (aleluya)

Wa Yesu umefunuliwa moyo huo

Nauona uko wazi moyo ( tukufu)

Unanimiminia neema moyo huo

Uko wazi uko wazi moyo

Verse 3

Ulipochomwa kwa chuma kigumu,nna ni ugumu ule wa mioyo yetu

Ukatujibu kwa kumwaga maji,nmaji laini nayo damu ya sadaka (lakini)

Verse 4

Hauchukii hauna kisasi,nmoyo mpole mwema na mnyenyekevu

Shida na tabu tukiukabidhi,nunachotoa ni neema na ushindi

Verse 5

Mahangaiko na kumaka kwetu,ntuupelekee moyo wake Yesu

Tutafurahi tutafanikiwa,ndamu na maji yake yatatutakasa (lakini)

Verse 6

Ili daima atukuzwe Baba,nna mwana atukuzwe Roho Mtakatifu

Ilivyokuwa toka kule mwanzo,nsasa na siku zote daima milele (amina)