Chorus
n{Silegei mimi silegei (silegei)
Nakaza mwendo nasonga mbele } * 2n{Japo kuwa utu wangu wa nje unachakaa
Bali utu wangu wa ndani, unafanywa upya siku kwa siku } * 2
Verse 2
Maana dhiki ya-ngu nyepesi na ya muda kitambo tu,
Yanifanyia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana
Verse 3
Tusiviangalie angalie vinavyooneka-na
Kwani hivyo ni vya muda tu bali visyoonekana ni vya milele
Verse 4
Wala sijafika, ila nakazana kwa nguvu zangu zo-te
Nikiyasahau yaliyopi-ta na kuyatafuta yaliyo mbele
Verse 5
Niifikie hi-yo thawabu ya mwi-to mkuu
Mwito wa Mungu katika Kristu Yesu Mkombozi wangu