Chorus
{ Sikuja kuitangua torati au manabii *2
La! Siku-ja, sikuja kutangua
Bali kuitimiliza bali kuitimiliza } *2
Verse 2
[ s ] Yesu aliyasema hayo akimaanisha, seria itimizwe,
Hata yodi moja na nukta moja, ya torati haitapita
Verse 3
[ t/b ] Na sisi inatubidi kuzitii sheria za Mungu siku zote,
Kuiba kudhulumu ni kuvunja sheria, alizoweka Mungu
Verse 4
[ s ] Yesu aliyasema hayo akimaanisha, sheria tutimize,
Uvivu na uchawi ni kuvunja sheria, alizoziweka Mungu