Chorus
{ Siku zake yeye mtu mwenye haki, atastawi atastawi } *2n{ Na wingi, wingi wa amani, hata mwezi utakapokoma,
Hata mwezi utakakapokoma, utakapokoma } *2
Verse 2
Ee Mungu mpe mfalme, mpe mfalme hukumu zako
Na mwana wa mfalme, umpe haki yako
Atawaamua watu, watu wako kwa haki
Na watu wako walioonewa kwa hukumu
Verse 3
Kwa maana atamuokoa, atamuokoa mhitaji
Na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi
Atamhurumia aliye dhaifu, dhaifu na maskini
Na nafsi za wahitaji ataziokoan