Verse 1
Siku yakuja kuuona mji wa Baba
Wateule watafurahi waliookoka
Siku ya kuja kuuona mji wa Baba,
Tutaimba aleluya *2
Chorus
{Tutavikwa mavazi meupe yapendezayo sana} * 2n{Wale waliookoka watavikwa kwa taji ya Bwana }n{Sote tutaimba Mbinguni kwa furaha kubwa} * 2
Alleluia Mungu wetu kwa upendo wako *2
Verse 3
Tujitenge na mambo ya duniani
Uongo, ulevi wizi visipatikane
Ndipo tutakuwa washindi wake Bwana
Tutaimba aleluya *2