Chorus
n{ Siku sita (sita) kabla ya Pasaka, watoto wa Kiyahudi walimlaki Bwana } *2
Wakishika matawi ya mitende mikononi wakiimba wakiseman{ Hosanna hosanna, hosanna Mwana wa Daudi
Hosanna Hosanna Mwana wa Daudi } *2
Verse 2
Wakimwimbia mfalme mkuu nyimbo za furaha na shangwe
Hosanna yeye ajaye kwa jina la Bwana.
Verse 3
Wakitandaza nguo zao kumpa heshima Mwana wa Daudi
Hosanna yeye ajaye kwa jina la Bwana