Chorus
Siku ile niliyokuita, Bwana uliniitikia *2n(Kweli) Ukanifariji nafsi kwa kunitia nguvu *2
Verse 2
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote
Mbele ya miungu nitakuimbia zaburin
Verse 3
Nitalishukuru jina lako ee Bwana
Kwa ajili ya fadhili na uaminifu wako
Verse 4
Kwa maana umekuza amri yako
Kuliko jina lako jina lako takatifu
Verse 5
Ingawa Bwana yuko kule juu Mbinguni
Twamwona mnyenyekevu na mwenye kujikunan
Verse 6
Ee Bwana fadhili zako ni za milele
Usiziache katika mikono yako Bwana