SectionsExitSiku Ile Niliyokuita

Siku Ile Niliyokuita

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

{ Siku ile niliyokuita, uliniitikia,

Ukanifariji nafsi kwa kunitia nguvu

Nitashukuru kwa moyo wangu (moyo) wote

Mbele ya miu-ngu nitakui-mbia zaburin(Nami ) nitakusujudu nikilikabili

Hekalu lako takatifu, hekalu lako takatifu } *2

Verse 2

Nitalishukuru jina lako, kwa ajili ya fadhili zako

Na uaminifu wako, kwa maana umeikuza

Ahadi yako kuliko jina lako loten

Verse 3

Ingawa Bwana yuko juu, amuona mnyenyekevu

Naye amjua mwenye kujivuna tokea mbali

Nijapokwenda katika shida utanihuisha

Utanyoosha mkono juu ya hasira za adui