Chorus
{ Siku ile niliyokuita, uliniitikia,
Ukanifariji nafsi kwa kunitia nguvu
Nitashukuru kwa moyo wangu (moyo) wote
Mbele ya miu-ngu nitakui-mbia zaburin(Nami ) nitakusujudu nikilikabili
Hekalu lako takatifu, hekalu lako takatifu } *2
Verse 2
Nitalishukuru jina lako, kwa ajili ya fadhili zako
Na uaminifu wako, kwa maana umeikuza
Ahadi yako kuliko jina lako loten
Verse 3
Ingawa Bwana yuko juu, amuona mnyenyekevu
Naye amjua mwenye kujivuna tokea mbali
Nijapokwenda katika shida utanihuisha
Utanyoosha mkono juu ya hasira za adui