Chorus
Kwa maana angalieni, siku ile inayokuja
Inawaka kama tanuru kama tanuru
Watu wote wenye kiburi, nao watendao uovu
Watakuwa kama makapi, kama makapin{ Wengi nao watajiuliza, hatukutoa pepo,
Na kwa ji-na la-ko kufa-nya mi-ujiza } *2
Verse 2
Jiandae ndugu yangu siku hiyo yaja
Kila mtu atalichukua furushi lake
Verse 3
Jiulize kwa makini utakuwa wapi
Ukiitwa leo au kesho ujiulize
Verse 4
Siku ile inakuja hatujui saa
Kila mtu atalichukua furushi lake