SectionsEntranceSiku Hii Ndio

Siku Hii Ndio

Christmas,Easter,Ordinary TimeEntrance
Chorus

Siku hii ndiyo aliyoifanya Bwana

Tutaishangilie na kuifurahia

Verse 2

Israeli nasema sasa,

Fadhili zake ni za milele

Verse 3

Mkono wake wa kuume,

Wa Bwana hutenda makuu

Verse 4

Sitakufa bali nitaishi nami,

Nitasimulia matendo ya Bwana

Verse 5

Jiwe walilolikataa waashi,

Limekuwa jiwe kuu la pembeni

Verse 6

Neno hili limetoka kwa Bwana,

Nalo ni la ajabu machoni petu