SectionsThanksgivingSikilizenimalaika

Sikilizenimalaika

Christmas,EasterThanksgiving
Chorus

Sikilizeni sikilizeni malaika wa Mbingu

Wanaimba kwa furaha aleluya kwa furaha aleluyan{ Na sisi tuimbe aleluya aleluya *2

Tushangilie ufufuko wake Bwana } *2

Verse 2

Kuwa uzima aliyekufa, amefufuka

Uzima umeshinda mauti

Verse 3

Twajua Kristu amefufuka, mfalme mshindaji

Kweli milele hata milele

Verse 4

Mchunga kondoo ametukomboa

Kondoo wake ametupatanisha na Baba

Verse 5

Mwanakondoo asiye na dhambi, ndiye Mwokozi

Mfalme wa Mbingu na dunia yote