Verse 1
Sifuni sifuni
Upendo wake Mungu
Pazeni, pazeni enyi wa ulimwengu
Sifa zake bwan zifike kwa jirani
Hii ndiyo amani kwa wote dunianin
Chorus
Utabiri wa kale umetimizwa
Mungu ametujalia tulivyonenwa
Dunia yote imefurahi sana
Amezaliwa ndiye Mungu mwana
Verse 3
Imbeni imbeni
Nyimbo za kushukuru
Semeni, semeni tumepewa uhuru
Wote yatupasa kuwa nayo furaha
Kuanzia sasa tujazwe uafasaha
Verse 4
Mbinguni, Mbinguni
Wanaimba amani
Amani Amani iwepo duniani
Kwa watu popote aliowaridhia
Njooni na mpate alivyowaandalia
Verse 5
Haya tazameni
Tuimbe Hosanna
Jamani Jamani ametujia Bwana
Heko mamajuzi kwa kumsujudia
Vivyi hata sisi twende kumtumikia