SectionsBible ProcessionSheria Yako Naipenda

Sheria Yako Naipenda

Ordinary Time,MarianBible Procession
Chorus

Sheria yako naipenda mno ajabu

Sheria yako naipenda mno ajabun{Ndiyo kutafakari kwangu

Ndiyo kutafakari kwangu

Mchana kutwa mchana kutwa} *2

Verse 2

Bwana ndiye aliye aliye fungu langu

Nimesema kwamba nitayatii maneno yako

Nimekuomba radhi kwa moyo wangu wote

Nifadhili sawa na ahadi yako

Verse 3

Umemtendea mema mtumishi wako

Sawasawa na neno lako na neno lako

Unifundishe akili na maarifa

Maana nimeyatii maagizo yako

Verse 4

Wewe u mwema na mtenda mema

Unifundishe unifundishe amri zako

Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu

Kuliko maelfu na dhahabu na fedha