Chorus
Sheria ya Bwana, sheria ya Bwananni kamilifu aeeh, ni kamilifu aeehnhuburudisha nafsi x2
Verse 2
Ushuhuda wa Bwana, ushuhuda wa Bwana,nni yamini ni yamini humtia mjinga hekiman
Maagizo ya Bwana, maagizo ya Bwana.
Ni ya adili,ni ya adili,nhuufurahisha moyo wangun
Na amri yake Bwana, amri yake Bwana,
Ni saf sana ni saf sana,nhuyatia nuru macho yangun
Hukumu zake Bwana, hukumu zake Bwana,nni za kweli ni za kweli,nnazo zina haki kabisa