Verse 1
Naimba shangwe za Paska, aleluya
Mfalme amefufuka, aleluya
Chorus
{Njooni tumpongeze, tumshangilie
Yesu Kristu Mwokozi wetu, aleluya } *2
Verse 3
Yu hai na hafi tena, aleluya
Ameagana na kifo, aleluyan
Verse 4
Wayahudi walimwua, aleluya
Walidhani wameshinda, aleluya
Verse 5
Utukufu na ukuu, aleluya
Una yeye milele, aleluya