Verse 1
Shangilieni kwa kuwa Mfalme yuaja
Anakuja kututoa utumwani
Anakuja kwetu, anakuja kutuokoa
Chorus
Tazama anakuja, mtawala wa wa ulimwengu
Anakuja kwetu Mtawala Bwana
Tazama anakuja, mtawala wa wa ulimwengu
Anakuja kwetu Mtawala Bwana
Verse 3
Tayarisheni mapito yake,
Dondoeni njia zake
Tubuni dhambi zenu, pokeeni wokovu wake
Verse 4
Mrudieni Mwenyezi Mungu,
Fungueni mioyo yenu
Basi anakuja, anakuja na enzi