SectionsExitShamba La Mzabibu

Shamba La Mzabibu

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Shamba la mizabibu *2 la Bwana

Ndilo nyumba ya Israeli *2

Verse 2

Ulileta mzabibu, (mzabibu kutoka Misri)*2

Ukafukuza mataifa *2, ukaupanda

Verse 3

Kwa nini umezibomoa, (umebomoa kuta zake)*2

Na hayawani wa kondeni wautafuna

Verse 4

Ee Mungu wa majeshi, twakusihi urudi Baba

Ujilie mzabibu huu, na mche uliopandankwa mkono wako