SectionsExitShamba La Mizabibu

Shamba La Mizabibu

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Shamba la mizabibu (mizabibu)

Shamba la mizabibu la Bwana ndilo nyumban(Ya Israeli) ndilo nyumba ya Israeli *2

Verse 2

Ulileta mzabibu, mzabibu kutoka Misri

Ukafukuza mataifa ukaupanda

Verse 3

Uliyaeneza matawi, matawi yake baharini

Vichipukizi vyake hata kunapo mto

Verse 4

Kwa nini umezibomoa, umebomoa kuta zake

Nguwe msituni wanauharibun

Verse 5

Wauchuma wapitao, wale wapitao njiani

Hayawani wa porini wanautafuna