Sauti za kuimba ni talanta zawadi (Tumepewa ) na Mungu tumwimbie } *2
Haya basi nyanyukeni tumsifun{Ninyi waimbaji (pazeni) zipaazeni sauti (hubirini) kwa sauti zenu } *2
Mwimbieni Bwana kwa ala za muziki zote zenye sauti tamu
Mpigieni ngoma na baragumu
Aee za muziki zote zenye sauti tamu
Mpigieni ngoma na baragumu
Jongeeni enyi watunzi wachezaji wa vinanda na waimbaji
Jiungeni nasi sifiche vipaji
Aee wachezaji wa vinanda na waimbaji
Jiungeni nasi sifiche vipaji
Sauti ya kwanza na pili wapendeza wanapoimba pamoja na
Na sauti ya tatu na nne ona
Aee wapendeza wanapoimba pamoja na
Na sauti ya tatu na nne ona
Kusifu kwapendeza sana duniani pia mbinguni ni furaha
Haya msifuni kuimba ni raha
Aee duniani pia mbinguni ni furaha
Haya msifuni kuimba ni raha
Kuimba huondoa dhiki ni faraja kwa waliokata tamaa
Ama burudani kwa walozubaa
Aee ni faraja kwa waliokata tamaa
Ama burudani kwa walozubaa
Sauti zenu ni talanta amueni jinsi mtazi-tumia
Angalieni mimi ninamwimbia
Aee amueni jinsi mtazi-tumia
Angalieni mimi ninamwimbia