SectionsEntranceSauti Tamu Tamu

Sauti Tamu Tamu

Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Verse 1

Nasikia sauti tamu tamu - kabisa kabisa

Midundo mizuri ya kupendeza - kabisa kabisa

Chorus

Ni vijana, ni vijana ni vijana twahubiri kwa nyimbo *2

Iyelele - iyelele, iyelele - iyelele *2 (jama)

Twasoma masomo magumu kuliko mawe

Pia tunaimba kuihubiri injili

Tuunge mkono kuhubiri kwa kuimba

Tubarikiwapo wewe usiachwe nyuma

Karibu ndugu karibu (wote) karibu tena karibu

Verse 3

Ni talanta tumepewa na Mungu -

Tutumie watu waokolewe -

Verse 4

Nyimbo zetu zakuza maadili -

Umoja pia ushirikiano -

Verse 5

Wenzetu wanapoyatupa mawe -

Sisi tunawarudishia nyimbo -